November 14, 2014

           Huu ni mfano wa Gari la Kikosi cha Zimamoto.
                               Huu ni mfano wa Gari la Kikosi cha Zimamoto.
Taarifa zilizotufikia ni kuhusu tukio la ajali ya moto Dar es salaam.
Kupitia kipindi cha XXL kinachorushwa na Clouds,mtangazaji Adam Mchomvu ametoa taarifa kuhusiana na jali ya moto iliyotokea katika jengo la Machinga Complex lililopo Ilala, Dar es saalam
Chanzo cha moto huo mpaka sasa hakijafahamika na tunaendelea kufuatilia ili kukupa taarifa zaidi na hizi ni baadhi ya picha za tukio hilo.
IMG-20141114-WA0003 

IMG-20141114-WA0004 
 IMG-20141114-WA0005 

IMG-20141114-WA0008

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE