January 09, 2015

Ofisi kuu ya  Chama cha wananchi CUF


KUFUATIA kuibuka kwa fujo na adha mbalimbali katika uchaguzi wa serikali za mitaa nchini, kuanzia zoezi la upigwaji wa kura mpaka uapishwaji wa wenyeviti hao kuzua utata, Chama cha Wananchi (CUF) leo kimewataka Waziri wa Tawala wa Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Hawa Ghasia na Mkurugenzi wa Wilaya ya Kinondoni na kujiuzulu kwa vile wameshindwa kuendesha  uchaguzi huo.
Aidha Naibu Katibu Mkuu wa CUF, Tanzania Bara, Magdalena Sakaya, ametaja baadhi ya maeneo yaliyogubikwa na fujo hizo katika uapishwaji wa wenyeviti kuwa ni pamoja na  Kawe, Kinondoni, Mwananyamala, Kiwalani, Buguruni, Kinyerezi, Migoba, Kigogo na kwingineko.

 Je, unakubaliana na lawama hizo kupelekwa TAMISEMI?


Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE