Kamba iliyotumiwa kumyongea aliyekuwa rais wa Iraq marehemu Saddam Hussein imedaiwa kuuzwa kwa zaidi ya dola millioni 4.
Licha ya Saddam kunyongwa mwaka 2006,watu bado wanamuenzi na mtu mmoja amejitolea kulipa dola millioni 7 kununua kamba hiyo iliokatiza maisha ya kiongozi huyo wa zamani.
Kulingana na gazeti la Metro,Baadhi ya watu matajiri wanaoitaka kamba hiyo wanatoka mataifa ya Kuwait,Iran na Israel.
Kamba hiyo kwa sasa inamilikiwa na Dr Mowaffak al-Rubaie,mshauri wa usalama wa zamani nchini Iraq,ambaye aliongoza eneo ambalo rais huyo wa zamani aliuawa.
Aliamua kuihifadhi kamba hiyo baadaye na sasa anataka zaidi ya dola millioni 7 kuiuza kamba hiyo
DKT HOMERA AKABIDHI MABOMBA YA SHILINGI MILIONI 30 KUPUNGUZA CHANGAMOTO YA
MAJI NAMTUMBO
-
Mwalimu Saidi Homera akikabidhi mabomba kwa niaba ya Mbunge wa Jimbo la
Namtumbo Dkt Juma Zuberi Homera na Waziri wa Katiba na Sheria nchini
Tanzania
Na ...
4 hours ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment