Huyu
kijana kushoto amekamatwa kwa kosa la kutapeli watu mbalimbali kwa
kutumia majina ya wafanyakazi wa Clouds akiwemo Ruge Mutahaba na
kujifanya yeye ndio kiongozi wa idara ya muziki ya Clouds fm na
kuwatapeli wasanii chipukizi kwa kuomba rushwa ya hela ili nyimbo zao
zichezwe redioni
Bodaboda waeleza mafanikio mafunzo usalama barabarani
-
MADEREVA bodaboda katika Jiji la Dodoma wameeleza jinsi mafunzo ya elimu ya
usalama barabarani yalivyo wafumbua macho na kuwafanya kufahamu sheria
mbalimba...
2 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment