Nay wa Mitego na Mtoto wakeNay wa Mitego Amesikitishwa na Kauli ya Mzazi mwenzake SIWEMA ambaye wamezaa naye mtoto kwa kusema kuwa mtoto huyo si wa kwake bali ni wa aliyekuwa Mpenzi wake wa zamani Obasanjo...Japo Wahenga wanasema Kitanda hakizai Haramu Nay wa Mitego amehabari kuwa yupo Radhi kupima DNA ili kubaini kama mtoto ni wake ama la?
SERIKALI YAIPA FCC MAJUKUMU MAZITO KULINDA WALAJI
-
Na Mwandishi Wetu
SERIKALI imeipa Tume ya Ushindani (FCC) jukumu la kusimamia kikamilifu
mikataba ya walaji ili kuondoa masharti kandamizi. Lengo ni kuhak...
1 hour ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment