Wakati
Jumuiya ya Madereva Tanzania wakipanga kufanya mkutano wao kesho jijini
Dar es salaam kujadili hatma ya mgogoro kati yao na serikali, Chama cha
Wamiliki wa Mabasi Tanzania TABOA wasisitiza kuanza mgomo wa mabasi ya
abiria kesho kupinga nauli mpya zilizotangazwa na SUMATRA hivi karibuni
SERIKALI YAAHIDI MAFANIKIO ZAIDI SEKTA YA HABARI
-
Na Jacquiline Mrisho - MAELEZO
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Habari - MAELEZO, Kelvin Kanje amesema kuwa
Serikali itaendelea kushirikiana na Wadau wa H...
11 hours ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment