Wakati
Jumuiya ya Madereva Tanzania wakipanga kufanya mkutano wao kesho jijini
Dar es salaam kujadili hatma ya mgogoro kati yao na serikali, Chama cha
Wamiliki wa Mabasi Tanzania TABOA wasisitiza kuanza mgomo wa mabasi ya
abiria kesho kupinga nauli mpya zilizotangazwa na SUMATRA hivi karibuni
Askofu Bagonza: Potofu huzaa potoshi/ potoshi huzaa potofu?
-
Dayosisi 7 za KKKT katika kanda ya Ziwa na Magharibi, kupitia Chuo cha
Theologia na Biblia cha Nyakato, zinatekeleza mradi muhimu kuhusu
mafundisho ya iman...
2 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment