Kwa mara nyingine Clouds Fm imepokea tuzo bora za viwango ‘Super Brand’’ 2015-2016.
Mkuu wa Kitengo cha Idara ya uchambuzi wa viwango Afrika Mashariki,Jawad
Jaffer akizungumza wakati akitoa tuzo hizo alisema kuwa wamezingatia
maoni ya wataalamu wazoefu wa masoko na walengwa wa huduma na bidhaa
ambao wana haki ya kuamua aina ya viwango bora vya supabrands na
kupongeza makampuni ambayo yamefanikiwa kuingia 20 bora.
Makampuni mengine yaliyopata tuzo ni Azam ,Bakhresa,Panadol,ITV.Tanga Fresh,M PESA,NMB ,Clouds Fm,FURNITURE CENTRE,VODACOM,Kilimanjaro Drinking Walter,CRDB ,Whitedent,Konyagi,Oryx ,Blueband ,Coca-Cola ,Fnta,Coral Paints na Toyota.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment