Kwa style yake ya kuimba imemfanya awe Mfalme wa Uswahilini, Wanamuita Msaga Sumu huku kwetu uswahili tunamjua sana si jambo la kushangaa maeneo ya Chamwino,Mafisa, Msamvu, Kichangani, Mwembesongo na mpaka sasa amevuka kila mahali sio tena uswahilini tu sasa mpaka ushuani wenyewe wanamuelewa, hakika ukisikia nyimbo zake hata kama ulikuwa hupendi miondoko hiyo basi utajikuta unatingisha hata kichwa na kujikuta unaanza kuipenda taratiiiiiiiiiiiibu, sasa tazama hii moja ya Show ambayo ame perform.
PUMA TANZANIA YAFUTURISHA WADAU MBALIMBALI JIJINI DAR ES SALAAM
-
WADAU mbalimbali wa Kampuni ya Puma Tanzania wamekuta katika iftar
iliyoandaliwa na Kampuni hiyo huku mgeni rasmi alikuwa Sheikh wa Mkoa wa
Dar es Salaam...
2 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment