Kwa style yake ya kuimba imemfanya awe Mfalme wa Uswahilini, Wanamuita Msaga Sumu huku kwetu uswahili tunamjua sana si jambo la kushangaa maeneo ya Chamwino,Mafisa, Msamvu, Kichangani, Mwembesongo na mpaka sasa amevuka kila mahali sio tena uswahilini tu sasa mpaka ushuani wenyewe wanamuelewa, hakika ukisikia nyimbo zake hata kama ulikuwa hupendi miondoko hiyo basi utajikuta unatingisha hata kichwa na kujikuta unaanza kuipenda taratiiiiiiiiiiiibu, sasa tazama hii moja ya Show ambayo ame perform.
“LENGO KUU LA KUSHIRIKI MAONESHO HAYA NI KUTOA ELIMU KWA UMMA” –
MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI
-
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari amefanya ziara ya
kutembelea maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara ya Sabasaba
yanayoendelea katika vi...
42 minutes ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment