
Mchezaji huyo mwenye kipaji, 29, alikuwa akifananishwa na gwiji wa Arsenal Patrick Viera na kocha Arsene Wenger, lakini amekuwa akisumbuliwa na majeruhi.
Diaby amecheza mechi 124 kwa kipindi cha miaka tisa kwenye klabu hiyo na kumuona akisumbuliwa na majeruhi 40.
Kuondoka kwa kiungo huyo kumethibitishwa na maafisa wa Ligi Kuu, na anaungana mshambuliaji wa Japan Ryo Miyaichi, 22, kuondoka Emirates.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment