June 12, 2015

mzee Yusuf
Msanii wa taarabu na CEO wa bendi ya Jahazi Modern Taarab Mzee Yusuf anategemea kutangaza nia kesho Jumamosi 13 Juni 2015, Huu ukiwa ni mwaka wa uchaguzi, tumeshuhudia makada mbalimbali wa Chama Cha Mapinduzi wakitangaza nia hadi kufikia 28. Swali ni kweli anatangaza nia au stunt tu?

Anaweza akawa ana wimbo unaitwa Natangaza nia, hii itakuwa ni surprise kama ni ukweli anatangaza nia kweli au ni wimbo.

Kiingilio ni shilingi 8,000/=TSHS, kuanzia saa 2 usiku katika viwanja wa burudani Dar Live Mbagala Zakhem jijini Dar es salaam.

Related Posts:

  • Huawei wapigwa stop Facebook Kampuni ya Facebook imeingia rasmi katika vita vya kiuchumi baina ya Marekani na China ikizuia huduma wezeshi (APP) zake kutumika katika simu za Huawei. Zuio hilo linalenga huduma mama ya Facebook na nyingine kutoka … Read More
  • Brand New Song: Zombie President - R I P Ngwair   Mwanamuziki na Mtangazaji Maarufu kutoka mkoani Morogoro MC Calvin Maarufu Zombie President, ameachia wimbo wake mpya kabisa uitwao R I P Ngwair. Wimbo wa R I P Ngwair ni wimbo unaoonesha mapenzi ya wazi kabisa k… Read More
  • BBC Dira ya Dunia leo hii 19 june 2019   Ifuatayo ni dira ya Dunia ya BBC inayokutangazia toka jijini London uingereza. Taarifa ya habari usiku wa leo 19 june 2019. Msomaji wako ni Zuhra Yunus           … Read More
  • Vanessa Mdee kuiwakilisha Tanzania kwenye meza ya majaji   Msanii muziki wa Bongo Fleva, Vanessa Mdee ataiwakilisha Tanzania kwenye meza ya majaji wanne waliotangazwa na waandaaji wa shindano la East Africa’s Got Talent 2019. Majaji wengine watatu waliotangazwa jana wa… Read More
  • Never Forget Moro - Hoodbangerz Kufuatia tukio la ajali ya Moto uliosababishwa na Roli la Mafuta na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 75 mkoani Morogoro, tukio lililotokea 10 August 2019 siku ya Jumamosi katika eneo la Msamvu, wasanii wa Hood Bangerz … Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE