Msanii wa taarabu na CEO wa bendi ya Jahazi Modern Taarab Mzee Yusuf
anategemea kutangaza nia kesho Jumamosi 13 Juni 2015, Huu ukiwa ni mwaka
wa uchaguzi, tumeshuhudia makada mbalimbali wa Chama Cha Mapinduzi
wakitangaza nia hadi kufikia 28. Swali ni kweli anatangaza nia au stunt
tu? Anaweza akawa ana wimbo unaitwa Natangaza nia, hii itakuwa ni surprise kama ni ukweli anatangaza nia kweli au ni wimbo. Kiingilio ni shilingi 8,000/=TSHS, kuanzia saa 2 usiku katika viwanja wa burudani Dar Live Mbagala Zakhem jijini Dar es salaam.
Huawei wapigwa stop Facebook
Kampuni ya Facebook imeingia rasmi katika vita vya kiuchumi baina ya
Marekani na China ikizuia huduma wezeshi (APP) zake kutumika katika simu
za Huawei. Zuio hilo linalenga huduma mama ya Facebook na nyingine kutoka …Read More
Brand New Song: Zombie President - R I P Ngwair
Mwanamuziki na Mtangazaji Maarufu kutoka mkoani Morogoro MC Calvin Maarufu Zombie President, ameachia wimbo wake mpya kabisa uitwao R I P Ngwair. Wimbo wa R I P Ngwair ni wimbo unaoonesha mapenzi ya wazi kabisa k…Read More
BBC Dira ya Dunia leo hii 19 june 2019
Ifuatayo ni dira ya Dunia ya BBC inayokutangazia toka jijini London uingereza. Taarifa ya habari usiku wa leo 19 june 2019. Msomaji wako ni Zuhra Yunus
…Read More
Vanessa Mdee kuiwakilisha Tanzania kwenye meza ya majaji
Msanii muziki wa Bongo Fleva, Vanessa Mdee ataiwakilisha Tanzania kwenye
meza ya majaji wanne waliotangazwa na waandaaji wa shindano la East
Africa’s Got Talent 2019.
Majaji wengine watatu waliotangazwa jana wa…Read More
Never Forget Moro - Hoodbangerz
Kufuatia tukio la ajali ya Moto uliosababishwa na Roli la Mafuta na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 75 mkoani Morogoro, tukio lililotokea 10 August 2019 siku ya Jumamosi katika eneo la Msamvu, wasanii wa Hood Bangerz …Read More
DIWANI WA KATA YA MSHANGANO AJIUZULU
-
Diwani wa Kata ya Mshangano ,Samuel Mbano akionesha barua ya kujiuzulu
Diwani wa Kata ya Mshangano ,Samuel Mbano aliyejiuzulu kupitia Chama Cha
Mapind...
Tandika jamvi lako na Meridianbet hapa
-
Je unajua kuwa unaweza kumaliza Wikendi yako kirahisi sana ukiwa na
Meridianbet kwani ODDS...
The post Tandika jamvi lako na Meridianbet hapa first app...
0 MAONI YAKO:
Post a Comment