Mbunge wa Viti Maalumu wa CCM aliyehamia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Ester Bulaya akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Uwanja wa Stendi ya zamani Mjini Bunda mkoani Mara.
Umati wa wananchi wa Mji wa Bunda na viunga vyake, wakiwa katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Stendi ya zamani ya mabasi mjini Bunda jana, uliohutubiwa pia na Mbunge wa Viti Maalumu, Ester Bulaya na mwenzake wa Kahama, James Lembeli waliotoka CCM na kuhamia Chadema.
Mbunge wa Kahama mkoani Shinyanga, James Lembeli aliyehama kutoka CCM na kujiunga Chadema, akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Uwanja wa Stendi ya zamani ya mabasi Mjini Bunda
MTANDAO WA WAMILIKI WA NYUMBA ZA UPATAJI NAFUU WAMPA TUZO KAMISHNA JENERALI
WA DCEA ARETAS LYIMO
-
Mtandao wa Wamiliki wa Nyumba za Upataji Nafuu nchini, Tanzania Network for
Voice of Sober House Tanzania, umemkabidhi tuzo ya shukrani Kamishna
Jenerali w...
3 hours ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment