Mbunge wa Viti Maalumu wa CCM aliyehamia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Ester Bulaya akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Uwanja wa Stendi ya zamani Mjini Bunda mkoani Mara.
Umati wa wananchi wa Mji wa Bunda na viunga vyake, wakiwa katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Stendi ya zamani ya mabasi mjini Bunda jana, uliohutubiwa pia na Mbunge wa Viti Maalumu, Ester Bulaya na mwenzake wa Kahama, James Lembeli waliotoka CCM na kuhamia Chadema.
Mbunge wa Kahama mkoani Shinyanga, James Lembeli aliyehama kutoka CCM na kujiunga Chadema, akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Uwanja wa Stendi ya zamani ya mabasi Mjini Bunda
Breaking : HAYA HAPA MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA (ACSEE) 2026,
UALIMU 2026
-
Bofya Kuona Matokeo
Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya Mtihani wa
Kidato cha Sita 2026, yakionyesha ongezeko la ufaulu ...
3 days ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment