July 03, 2015

.

Kwenye Top 10 ya muziki mkali wa Afrika ambayo hufanyika kila Alhamisi kwenye kituo cha TV cha Ufaransa ambacho kina mamilioni ya Watazamaji Afrika (TRACE TV Urban) July 2, 2015 single ya ‘Nana’ Diamond ft Mr Flavour imeshika nafasi ya kwanza.
.
.
Kwenye hiyo chati wiki hii number mbili imeshikwa na single ya Bobo ya Alamide, ya tatu ‘Fans Mi ya Davido ft Meek Mill na ya nne ni The Bagger ya Runtown ft Uhuru na ya tano ni Talking Over ya Yemi Alade ft Phyno.
.
.
Mpaka sasa ‘Nana’ kupitia mtandao wa Youtube kwenye channel ya Diamond Platnumz video hiyo imetazamwa kwa zaidi ya mara milioni 2 ambapo mpaka saa sita usiku July 2, 2015 2014 ni watu 15,276 walikua wameipenda kwa kulike huku watu waliodislike ni  1847.
Hizi ni baadhi ya picha zikionesha video ya Diamond Platnumz ft Mr Flavour ‘Nana’ ikiwa imeshika No.1 kwenye Top 10 ya Afrika kupitia kituo cha kimataifa chenye huduma ya kulipia Trace TV.
.
.
.
.

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE