July 19, 2015



+255Kwanza Naibu Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Msafiri Mtemelwa (kushoto) akimkabidhi kadi Msanii wa filamu nchini Mohamed Mwikongi "Frank" ambaye amejiunga rasmi ACT na kutangaza azma ya kuwania Ubunge jimbo la Segerea. 
 Naibu Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Msafiri Mtemelwa (kushoto) akimkabidhi kadi Msanii wa filamu nchini Mohamed Mwikongi "Frank" ambaye amejiunga rasmi ACT na kutangaza azma ya kuwania Ubunge jimbo la Segerea
Naibu Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Msafiri Mtemelwa (kushoto) akimkabidhi kadi na katiba msanii maarufu wa filamu nchini, Mohamed Mwikongi jina la sanaa 'Frank' alipotambulishwa mara baada ya kujiunga na chama hicho. 
 Naibu Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Msafiri Mtemelwa (kushoto) akimkabidhi kadi na katiba msanii maarufu wa filamu nchini, Mohamed Mwikongi jina la sanaa 'Frank' alipotambulishwa mara baada ya kujiunga na chama hicho.
 Msanii maarufu wa filamu nchini, Mohamed Mwikongi jina la sanaa 'Frank' akizungumza na waandishi wa habari alipotambulishwa mara baada ya kujiunga na chama hicho. 



0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE