Chelsea na Arsenal wanakutana leo Wembley kwa mechi ya ngao ya jamii kwa ajili ya msimu mpya.
Timu hizi mbili zimewahi kukutana tena kabla kwa mechi kama hii mwaka 2005 ambapo Chelsea ilishinda 2-1
Kwa Arsene Wenger hii itakua ni changamoto ya kuweka rekodi ya kushinda kwani kwa michezo 13 iliyopita Wenger ameshindwa kutamba mbele ya Mourinho.
Hapa chini nimekuwekea wachezaji wanaotarajiwa kuanza vilabu vyote viwili
Arsenal: Cech; Debuchy, Mertesacker, Koscielny, Gibbs; Coquelin, Ramsey, Oxlade-Chamberlain, Ozil; Akpom, Giroud
Chelsea: Courtois; Ivanovic, Zouma, Terry, Azpilicueta; Fabregas, Matic, Willian, Oscar, Hazard; Remy
0 MAONI YAKO:
Post a Comment