Mwana muziki mwenye kipaji cha kukidhi haja toka nchini Tanzania King Kapita, amekuletea tena ngoma yake mpya kabisa aliyomshirikisha Cannibal Shaitta toka nchini Kenya wimbo unaitwa vizabizabina, wimbo ambao umefanywa na producer Johnn B na Kanyeria wa GrandMaster. Kimya cha King kapita kilisababishwa na ubize wake wa masomo nchini Afrika Kusini
TMA yapongezwa kuimarisha ubora na usahihi wa taarifa za Hali ya Hewa
-
WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), wamekutana kupitia
kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa TMA kilichofanyika katika ukumbi wa
NSSF, Mo...
2 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment