November 25, 2015



1cst
 Leo Chama cha Haki Miliki Tanzania ‘COSOTA’ wameendesha Semina ya Ufuatiliaji wa kazi za sanaa na Ugawaji Mirabaha ambayo itakusanywa na vituo vya Radio na Televisheni.
Hii itakua ni fursa ya Wasanii mbalimbali wa Tanzania kulipwa na vituo vya Radio na Tv kila ambapo nyimbo zao zitakapokuwa zinapigwa ambapo waliohudhuria katika semina hiyo wasanii, Watayarishaji wa muziki na Mameneja.
Miongoni mwa waliohudhuria ni pamoja na Babu Tale, Mchizi Mox, Meneja Maneno, Mona Gangstar, Nikk wa pili, Nikki Mbishi, Jaymoe, Lamar na wengine wengi.
2cst

4cst

5cst

7cst

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE