Mzee Yussuf kulipua bomu
Aliyewahi kuwa mwimbaji mahiri wa muziki wa Taarab nchini ambaye pia
alikuwa Mkurugenzi wa kundi la Jahazi Modern Taarabu, Mzee Yusuph
amefunguka na kusema kuwa hazitapita siku tatu lazima alipue bomu.
…Read More
Good News: Ibrahim Ajib apata mtoto
Uongozi wa klabu ya Yanga umetangaza kuwa familia ya Mshambuliaji wake, Ibrahim Ajibu, imejaaliwa kupata mtoto wa kike.
Ajibu alishindwa kusafiri na kikosi cha Yanga kuelekea Algiers,
Algeria kwa ajili ya mechi y…Read More
Kitila Mkumbo atii agizo la Rais Magufuli
Katibu Mkuu Wizara ya Maji na Umwagiliaji Prof. Kitila Mkumbo,
ametekeleza kwa vitendo agizo alilopewa na Rais Magufuli, la kwenda
kijijini Tundu, Wilayani Mikumi kushughulikia kero ya mradi wa maji
kijijini hapo.
Mei …Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment