Habari zilizotufikia hivi punde tu zinasema kwamba askari 3 wamefariki dunia huku wengine 3 wawili wakiwa majeruhi na hali zao ni mbaya baada ya kupata ajali mbaya iliyosababishwa na tairi la gari yao iliyokuwa katika msafara wa viongozi wa CCM mkoani Singida kupasuka na kupinduka katika eneo la Mkiwa, wilayani Ikungi.
Mwenyezi Mungu apokee roho zao hao MAREHEMU na awape nafuu ya haraka MAJERUHI.
Source: jamii forum
TBS YATOA ELIMU KWA WAJASIRIMALI KWENYE MAONESHO YA MUUNGANO
-
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limetoa elimu ya viwango vya ubora kwa
Wajasiriamali wadogo waliojitikeza katika Mao...
1 hour ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment