Habari zilizotufikia hivi punde tu zinasema kwamba askari 3 wamefariki dunia huku wengine 3 wawili wakiwa majeruhi na hali zao ni mbaya baada ya kupata ajali mbaya iliyosababishwa na tairi la gari yao iliyokuwa katika msafara wa viongozi wa CCM mkoani Singida kupasuka na kupinduka katika eneo la Mkiwa, wilayani Ikungi.
Mwenyezi Mungu apokee roho zao hao MAREHEMU na awape nafuu ya haraka MAJERUHI.
Source: jamii forum
Breaking : HAYA HAPA MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA (ACSEE) 2026,
UALIMU 2026
-
Bofya Kuona Matokeo
Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya Mtihani wa
Kidato cha Sita 2026, yakionyesha ongezeko la ufaulu ...
2 days ago







0 MAONI YAKO:
Post a Comment