February 06, 2016

                      

Mtandao wa kijamii wa Twitter, umesema kuwa umesimamisha akaunti zaidi ya 120,000 kwa uchochezi tangu katikati mwa mwaka uliopita.

Kampuni hiyo inasema akaunti nyingi zilikuwa na uhusiano mkubwa ma kundi la kigaidi la Islamic State.

Twitter walisema kuwa kutokana na hatua hiyo mawasiliano ya kigaidi imeanza kutoweka kwenye mtandao wao

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE