Majaji wa mahakama ya kimataifa ya uhalifu ya ICC hii leo wanatarajiwa kutoa hukumu dhidi ya makamu wa zamani wa Rais wa Congo Jean- Pierre Bemba anaetuhumiwa kwa ubakaji na mauaji yaliyofanywa na wanajeshi wake katika nchi jirani ya Jamhuri ya Afrika ya Kati katika kipindi cha zaidi ya muongo mmoja uliopita.
🟢 KIVUMBI CCM!! MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE, UDIWANI SASA ZAIDI YA WATATU –
"VIJANA WENGI KUCHOMOZA"
-
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Mkutano Mkuu Maalum wa CCM
Taifa kwa...
2 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment