Mchezaji wa kilabu ya Southampton nchini Uingereza,mkenya Victor Wanyama ataendelea kucheza baada ya kuhudumia marufuku ya mechi tano wikendi ijayo na kilabu yake baada ya kupewa kadi nyekundu msimu huu.
Southampton inakabiliana na Liverpool siku ya jumapili.Anasema imekuwa kipindi kirefu tena kigumu kukaa bila kucheza. Mwandishi wa BBC Peter Musembi alikutana na mchezaji huyo katika uwanja wa Southampton nchini Uingereza na kumuuliza kuhusu maisha yake katika ligi ya Uingereza.
Quick Rocka kakuletea hii hapa Mwendokasi
Baada ya kupotea kwa muda, hatimaye Mwanamuziki Quick Rocka amekuja kwa staili hii mpya. Ameachia wimbo wake leo unaitwa Mwendokasi akimshirikisha Chin Beez
…Read More
Mechi ya Yanga na Mazembe, Kamisaa ataka mashabiki 40,000 tu
UWANJA
wa Taifa, Dar es Salaam una uwezo wa kuchukua watu 60,000, lakini kesho
utafungwa wakati wa mchezo wa Yanga na TP Mazembe ya DRC baada ya
mashabiki 40,000 kuingia.
Hayo
ni maagizo ya Kamisa wa mchezo huo wa…Read More
collabo ya Black Coffee na Alicia Keys yakamilika
Mshindi wa tuzo ya BET kwenye kipengele cha Best
International Act: Africa, Black Coffee amekamilisha kufanya collabo
yake na Alicia Keys.
Akiongea na Sunday Times, Black Coffee amekubali taar…Read More
Tandika jamvi lako na Meridianbet hapa
-
Je unajua kuwa unaweza kumaliza Wikendi yako kirahisi sana ukiwa na
Meridianbet kwani ODDS...
The post Tandika jamvi lako na Meridianbet hapa first app...
0 MAONI YAKO:
Post a Comment