March 19, 2016

                        
         Ndege ya Flydubai

Ndege ya abiria iliyokuwa na watu 62 imeanguka ilipukuwa ikitua katika mjini ulio kusini mwa Urusi wa Rostov-on-Don.

Hakukuwa na manusura kati ya abiria 55 na wahudumu saba waliokuwa ndani ya ndege hiyo.

Ndege hiyo aina ya Boeng 737 iliyokuwa ikitoka Dubai ilimilikiwa na shirika la Flydubai.

                      
Ndege ya Flydubai ilioanguka nchini Urusi

Ndege hiyo ilizunguka kwa karibu masaa mawili kabla ya kufanya jaribio la pili la kutua kufutia hali mbaya ya hewa.

Ilianguka mita mia kadha kutoka kwa barabara ya uwanja ambapo ilivunjika na kushika moto.

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE