Baada
ya cheche kumdondokea msanii wa Bongo Fleva Barnaba na majirani zake
kumponda star huyo ameonesha wazi kutojali tuhuma hizo dhidi yake na
kuamua kuzitupilia mbali.
Hivyo
kupitia Enewz Barnaba amewataka mashabiki zake wakutane Jumapili hii
Tegeta kwenye miaka 17 ya East Africa Radio ili wawe wa kwanza kusikia
wimbo wake mpya atakao uachia wiki ijayo kupitia Radio hiyo
Awali
wakizungumza katika cheche ya Enewz majirani wa star huyo walidai kuwa
Barnaba ana tabia ya kuwageuza vimada wasanii wa kike wanaofika ofisini
kwake kuomba msaada wa kimuziki ili watoke.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment