April 26, 2016


 
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania DK.John Pombe Magufuli ameivunja Bodi ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) na kumsimamisha kazi aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka hiyo Dkt. Ally Yahaya Simba na kumuagiza waziri wa Ujenzi, mawasiliano na uchukuzi Prof. Makame Mbalawa kumteua kaimu mkurugenzi mkuu wa Mamlaka hiyo

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE