Kufuatia Rais Magufuli kuondoa shamrashamra za Sherehe za siku ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar, kumekuwapo na mitazamo mbalimbali toka kwa wana siasa na watanzania kwa jumla. Huu hapa ni mtazamo wa Kitila mkumbo Muhadhili wa chuo kikuu cha Dar Es Salaam na pia mwana siasa toka katika chama cha ACT Wazalendo
TANZANIA NA MAREKANI WASHIRIKIANA KUKUZA TEKNOLOJIA NA UTAFITI WA MADINI
-
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
Tanzania na Marekani zimeonyesha dhamira ya kuimarisha ushirikiano wa muda
mrefu katika sekta ya teknolojia na madini, hasa kat...
3 hours ago






0 MAONI YAKO:
Post a Comment