April 26, 2016

 

  Mkuu wa kituo cha zimamoto Manispaa ya Morogoro ndugu Issa Isandeko ameeleza kazi wanazozifanya kama jeshi la zima moto manispaa ya Morogoro. 
 Akifanya mahojiano yake na Simple Bway katiak kipindi cha Mega Mix cha Radio Abood mkoani Morogoro Bwana Isandeko ameeleza jinsi ya utendaji wao wa kazi na kwa nini huwa wanachelewa. 

Msikilize hapa chini akieleza jinsi ya utendaji kazi wao


                      

                       

Related Posts:

  • New Audio: Ally Kiba - Chekecha cheketua Baada ya kufanya poa ndani na nje ya Tanzania na wimbo wake wa mwana, Mwanamuziki Ally Kiba sasa amekuja na ngoma yake mpya kabisa inayoitwa Chekecha cheketua. … Read More
  • Pole Chris Brown mwenzako nilichekwa-Ommy Dimpoz    Msanii Omary Nyembo alimaarufu kama Ommy Dimpoz amefunguka na kusema kuwa watu wa uhamiaji duniani kote huwa hawatambui umaarufu wa mtu pindi wanapogundua kuna kitu hakijaenda sawa,Ommy Dimpoz amefunguka hay… Read More
  • Di Maria ajuta kujiunga na Man United    Mchezaji nyota ambaye pia ni kiungo wa kati wa Manchester United Angel Di Maria amesema kuwa alifanya makosa kujiunga na Kilabu ya Manchester United msimu uliopita. Raia huyo wa Argentina amejaribu kuingian… Read More
  • Rais Kikwete afanya uteuzi mpya    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, amefanya uteuzi wa Wenyeviti wa Tume ya Utumishi wa Umma na Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA) atika uteuzi huo, Rais amemteua Mhe… Read More
  • Tp Mazembe yasajili watatu    Kikosi cha TP Mazembe cha Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo  Timu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya kidemokrasia ya Kongo imewasajili wachezaji watatu wapya toka kwenye timu ya taifa ya Ivory Coast. Nyota … Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE