Mkurugenzi wa zamani wa Utawala na Utumishi wa Benki Kuu ya
Tanzania ( BOT), Amatus Liyumba amefariki dunia leo, msiba upo nyumbani
kwake maeneo ya Triple Seven, Mikocheni jijini Dar es Salaam.
Kilio ACT ikipigania haki ya uchaguzi
-
CHAMA cha ACT Wazalendo kimesema safari ya kuitafuta haki ya uchaguzi
inaendelea. Lakini papohapo, kingependa kuona Mahkama
0 MAONI YAKO:
Post a Comment