Hii ilikuwa May 13 2016 baada ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kuwasilisha Bungeni makadirio ya mapato na matumizi ya fedha kwa mwaka 2016/2017 . Hotuba iliyosomwa na Waziri Nape Nnauye ambapo kiwango kilichoombwa ilikuwa ni Sh. 20,326,176,000.
Wabunge mbalimbali walipata time ya kuchangia bajeti hiyo huku kila mmoja akilenga upande aliouona yeye, hapa nimekusogezea video ya Mbunge wa Kigoma Zitto Kabwe yeye alikuwa na haya.
Breaking : HAYA HAPA MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA (ACSEE) 2026,
UALIMU 2026
-
Bofya Kuona Matokeo
Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya Mtihani wa
Kidato cha Sita 2026, yakionyesha ongezeko la ufaulu ...
3 days ago






0 MAONI YAKO:
Post a Comment