Katibu mkuu wa CUF Maalim Seif amtaka prof Lipumba atafute uwenyekiti chama kingine . "Cuf hana nafasi ya uongozi labda abakie kuwa mwanachama wa kawaida tu ndani ya Cuf", maalim Seif amesema hayo wakati akimjibu mwaandishi wa bahari wa kitanzania alieko Marekani alietaka kujua msimamo wake kuhusu kurejea kwa prof Lipumba cuf,Maalim seif anaendelea na ziara yake nchini marekani akiwa na Ismail Jussa taarifa hizi kwa hisani ya Jussa toka USA
June 14, 2016
10:12 AM
Machaku
No comments
Related Posts:
FREEMAN Mbowe Azungumzia Kuhusu Shirika la Nyumba NHC Kutoa Mali zake nje Shirika La Nyumba la Taifa kupitia kampuni ya udalali juzi zilitoa samani mbalimbali katika jengo la Club Bilicanas na jengo lenye Ofisi ya Free Media kufuatia mmiliki wa ofisi hizo Freeman Mbowe kutolipa deni am… Read More
Wasanii wa Fiesta2016 na Wafanyakazi wa Clouds wakabidhiwa watoto wenye Albinizm Wasanii wa Fiesta2016 na Wafanyakazi wa CloudsMediaGroup wakabidhiwa watoto; Semina ya Fursa2016 imefanya tukio la kipekee mjini Shinyaga baada ya kuwachukua watoto wenye Ulemavu kutoka katika kituo cha Buhangija… Read More
Video:Fella azitambulisha Nyumba alizowajengea Yamoto Band Mmiliki wa bendi ya Yamoto Band Mkubwa Fella, ameonesha mahali walipofikia Band ya Yamoto kwa mafanikio ambapo ameamua kuonesha nyumba alizowajengea vijana wake hao. Tazama Video hapa &nbs… Read More
Bulaya: Nimemsamehe Wassira MSUGUANO uliodumu kwa muda mrefu kati ya Esther Amosi Bulaya na Stephen Wassira, umefika kikomo, anaandika Pendo Omary. Kauli ya Bulaya ambaye ni Mbunge wa Bunda Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na M… Read More
Kurasa za Magazetini leo hii Jumapili 04 September 2016 Karibu mpenzi msomaji wa ubalozini.blogspot.com. Tumekukusanyia kurasa za Magazetini leo hii Jumapili ya 04 September 2016. … Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment