June 21, 2016

13
Raia mmoja anakabiliwa na mashataka baada ya kutuhumiwa kuandika ujumbe kwenye mtandao whatsApp akimuita Rais Magufuli mpumbavu, Bwege, Zuzu.
Mtu huyo aliyefahamika kwa jina la Leonaard Mulokozi Kyaruzi ameshtakiwa chini sheria uhalifu wa mtandaoni (Cybercrime act) ya mwaka 2015. Huyu ni raia wa pili kushtakiwa baada ya wa kwanza kufikishwa mahakamani mkoani Arusha kwa kumtukana Rais Magufuli kwenye mtandao wa Facebook.
Kyaruzi ujumbe wake unasomeka hivi. ‘Hivi huyu Pombe ni kwamba hana washauri? Hashauri? Au ni zuzu? Bwege sana huyu jamaa, he doesn’t consider the law in place before opening his mouth!. Au na yeye anaumwa ugonwja wa mnyika?”
Hii hapa ni hati ya shtaka linalomkabili Kyaruzi.

WhatsApp-Image-20160621 (1)

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE