Baadhi ya wanawake kutoka wadi ya Ndeiya nchini Kenya wameandamana ili kushinikiza waume wao kuwapa haki ya ndoa. Wanawake hawa wanasema kuwa waume wao hulewa kupindukia na kushindwa kutekeleza tendo la ndoa.
WANAHISA WA BENKI YA CRDB WAIDHINISHA MALIPO YA GAWIO LA SHILINGI BILIONI
130.6 KWA MWAKA WA FEDHA WA 2023
-
Arusha 18 Mei 2024 - Wanahisa wa Benki ya CRDB wameidhinisha kwa kauli moja
mapendekezo ya Bodi ya Wakurugenzi kuhusu malipo ya gawio la Shilingi 50
kwa ...
31 minutes ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment