
Tamasha la Fiesta 2016 limezinduliwa leo rasmi na waandaji Prime Time Promotion na wadhamini wakuu wa Tamasha hilo mwaka huu kampuni ya simu ya Tigo, Fiesta 2016, itafanyika katika mikoa 15 Tanzania na pazia litafunguliwa rasmi ndani ya Rock City – Mwanza.
Kampuni ya simu ya Tigo wametangaza rasmi kushirikiana na Prime Time Promotions kudhamini Tamasha la Fiesta2016.




saaafii sana
ReplyDelete