Mashirika yasiokuwa ya kiserikali yatolea wito nchi za Afrika kutojitoa katika mahakama ya kimataifa ya The Hague
Mkutano
wa mataarisho ya kongamano la Umoja wa Afrika ambalo linatarajiwa
kufanyika ifikapo Julai 16 nchini Rwanda imeanza kufanyika mjini Kigali.
Kongomano hilo la Umoja wa Afrika litafanyika Julai 16 hadi Julai 18 nchini Rwanda.
Katika
mkutano wa mataarisho kunataraiwa kujadili suala la nchi za Afrika
kuondoka katika ushirikiano na mahakama ya kimataifa ya ICC.
Viongozi wengi wa Afrika wanaituhumu mahakama hiyo kulenga viongozi wa Afrika pekee.
Mashirika
mengi yasiokuwa ya kiserikali yamefahamisha kuwa itakuwa kosa kwa
Afrika kujiondoa katika mahakama hiyo kwa kuwa mahakama hiyo ni muhimu
kwa raia.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment