July 26, 2016

13736136_1027734437295098_733240745_n
Mr T Touch akiwa ndani ya studio yake mpya

 Mtayarishaji wa zamani wa studio ya Nay wa Mitego ‘Free Nation’ Mr T Touch amefunguka na kuzungumzia mahusiano yake na aliyekuwa bosi wake baada ya wawili hao kudaiwa kuachana vibaya.
Akiongea na Bongo5 Jumanne hii, Mr T Touch amesema ameachana na Nay wa Mitego ili kutengeneza maisha yake binafsi.
“Hakuna ugomvi wowote ila mimi nimeamua kufanya maisha yangu ambayo nahisi ni bora kwangu kwa sababu sisi ni binadamu na kila kwenye mwanzo kuna mwisho ,” alisema T. “Kwa hiyo ni vitu vya kawaida mimi nimetoka Free Nation sio kwa bifu lakini ni kujitetea kwenye maisha yangu, kwa hiyo nimefungua studio mpya na nimewekeza pesa nyingi kwa sababu studio ndio maisha yangu,”
Pia mtayarishaji huyo amesema atafanya kazi na Nay wa Mitego kwa vigezo maalum tofauti na mwazo.
“Siwezi kukataa kufanya kazi na Nay wa Mitego, kama akija tutasaini mkataba alafu kazi itafanyika lakini sio kama zamani hii ni kibiashara zaidi,” alisema Mr T Touch                                                

Related Posts:

  • Alichokiongea DR. Magufuli baada ya kushinda nafasi ya UraiS Baada ya Rais mteule wa Tanzania, Dr. John Magufuli na Makamu wake Mama Samia Suluhu Hassan kukabidhiwa cheti na Tume ya Uchaguzi NEC, safari ilianza toka Ukumbi wa Diamond Jubilee Upanga mpaka Ofisi za CCM mta… Read More
  • Butiku "wazanzibar msikubali kurudia uchaguzi" Taasisi ya mwalimu Nyerere imeitaka tume ya uchaguzi ya Zanzibar ZEC kufanya kazi kwa kuzingatia katiba ya nchi na sheria na sio kutanguliza mbele maslahi binafsi ya kisiasa hatua ambayo inaweza kusababisha machafuko na umwa… Read More
  • Maafisa wa kituo cha kukusanya taarifa cha TACCEO wakamatwa Wakili Imelda – Lulu Urio Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC. Chanzo:MOE BLOG Mtandao wa Asasi za Kiraia za Kuangalia chaguzi nchini jana ulipata pigo katika mwendelezo wake wa kukusanya taarifa juu ya mchakato wa… Read More
  • Familia zaidi ya 30 Morogoro zakosa makazi Kaya 30 za kata ya Kilakala manispaa ya Morogoro hazina makazi baada ya nyumba zao kuzingirwa maji kufuatia mvua zilizo nyesha mda mfupi na kusababisha maji kuacha muelekeo baada ya kuziba mifereji ya kuyapitisha kisha kuing… Read More
  • Obama aing'oa Burundi Mshirikishe mwenzako Image copyrightAFPImage captionMarekani imeiondoa Burundi kutoka kwenye mikataba yake ya kibiashara AGOA iliyowezesha mataifa ya Afrika kuingiza bidhaa zao katika soko la Marekani bila kulipa kodi. Mare… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE