Katibu wa Chadema Mkoa
wa Mwanza John Thobius Nzwalile amejiuzulu nafasi zake ndani ya chama
hicho na kuhamia CCM kutokana na kukerwa na oparesheni UKUTA ambayo
imelenga kuleta vurugu nchini. Amenukuliwa akisema "Nimejaribu sana
kuwaonya wenzangu kuchana na huo ujinga lakini hawasikii
0 MAONI YAKO:
Post a Comment