Msanii zao la SupaNyota2013 Eduboytz akifungua jukwaa la FiestaMuleba ZimbihileStadium
Time ilikuwa ya Bonge la Nyau kushambulia jukwaa
Kutoka Mwanza mpaka Muleba siyo mbali kabisa kwa Barakah Da Prince. Anawaburudisha majirani zake
Anatoka katika Lebal ya W C B anaitwa Raymond. Akikiwasha kinomanoma jukwaani
Chaf Poz mtu mzima Bill Nass ilifika zamu yake
Kwenye injini yupo D J Zero akiharibiki kitu
Mwamba wa Kaskazini akisema nao watu wa Muleba katika jukwaa la Tigo Fiesta 2016 #Imooo
0 MAONI YAKO:
Post a Comment