Mtaalamu mahiri ambaye ametokea kukubalika sana na watanzania ikiwemo
vyombo vya habari ametoa kali ya mwaka katika mada zake kupitia Clouds
FM pale alipofichua kwamba ikiwa umeishi na mwanaume kwa muda mrefu sana
na hujawahi kusikia akipumua (aghalabu kitarumbeta) basi ujue mwanaume
huyu ana siri nyingi sana anakuficha na kutopumua (flatulence) ni ishara
ya kwamba anazibana siri hizi kama anavyolibana tukio lenyewe
Huyu ni Dr Chriss Mauki
Wanasayansi wengine wamenukuliwa wakisema Holding it in may cause major health repercussions.
Maumivu wanayoyapata watoto hawa ni zaidi ya mateso
WATOTO wawili wanaogua maradhi tofauti wapo katika mateso makubwa na wanahitaji msaada wa wasamaria wema ili waweze kupona.
Mtoto Mudasili ambaye amezaliwa Septemba 2016 katika Kijiji cha Nampemba wilayani Nachingw…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment