Mtaalamu mahiri ambaye ametokea kukubalika sana na watanzania ikiwemo
vyombo vya habari ametoa kali ya mwaka katika mada zake kupitia Clouds
FM pale alipofichua kwamba ikiwa umeishi na mwanaume kwa muda mrefu sana
na hujawahi kusikia akipumua (aghalabu kitarumbeta) basi ujue mwanaume
huyu ana siri nyingi sana anakuficha na kutopumua (flatulence) ni ishara
ya kwamba anazibana siri hizi kama anavyolibana tukio lenyewe
Huyu ni Dr Chriss Mauki
Wanasayansi wengine wamenukuliwa wakisema Holding it in may cause major health repercussions.
Mch: Mtikira afariki katika ajaliGari alimopata ajali Mch mtikira Mwenyekiti wa chama cha siasa (Democratic Party - DP) nchini Tanzania, Mchungaji Christopher Mtikila amefariki dunia alfajiri ya leo katika ajali ya gari iliyotokea kwenye kijiji cha Msol…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment