Mtaalamu mahiri ambaye ametokea kukubalika sana na watanzania ikiwemo
vyombo vya habari ametoa kali ya mwaka katika mada zake kupitia Clouds
FM pale alipofichua kwamba ikiwa umeishi na mwanaume kwa muda mrefu sana
na hujawahi kusikia akipumua (aghalabu kitarumbeta) basi ujue mwanaume
huyu ana siri nyingi sana anakuficha na kutopumua (flatulence) ni ishara
ya kwamba anazibana siri hizi kama anavyolibana tukio lenyewe
Huyu ni Dr Chriss Mauki
Wanasayansi wengine wamenukuliwa wakisema Holding it in may cause major health repercussions.
Breaking!! Mtoto Abakwa Na Kutiwa Jiti Sehemu Za Siri
Kijana mmoja mwenye umri wa Miaka Kumi na Tano [ 15] ameshikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Kaskazini Pemba kwa kumbaka Mtoto mwenye umri wa Miaka Miwili na Nusu na kumsababishia Maumivu…Read More
Official Video: Nandy - Kivuruge
Mwanamuziki Nandy, kutokea Tanzania House of Talent T H T, ameachia video ya wimbo wake wa Kivuruge.Anakupa muda wako wa kuitazama hapa chini na aweza ku download pia
&n…Read More
Official Video:Rayvanny ft Maphorisa x Dj Buckz - Makulusa
Kutoka WCB Wasafi, mwanamuziki Rayvanny Boy, ametuletea wimbo wake mpya
kabisa unaitwa Makulusa. Katika wimbo huu Rayvanny amewashirikisha
wanamuziki Maphorisa na DJ bucz. Enyoy tme hii kuutazama video yake ya
viwango…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment