Mtaalamu mahiri ambaye ametokea kukubalika sana na watanzania ikiwemo
vyombo vya habari ametoa kali ya mwaka katika mada zake kupitia Clouds
FM pale alipofichua kwamba ikiwa umeishi na mwanaume kwa muda mrefu sana
na hujawahi kusikia akipumua (aghalabu kitarumbeta) basi ujue mwanaume
huyu ana siri nyingi sana anakuficha na kutopumua (flatulence) ni ishara
ya kwamba anazibana siri hizi kama anavyolibana tukio lenyewe
Huyu ni Dr Chriss Mauki
Wanasayansi wengine wamenukuliwa wakisema Holding it in may cause major health repercussions.
Francis Cheka ala kifungo cha miaka miwili
Kamisheni ya Ngumi za Kulipwa nchini (TPBC) imemfungia Bondia Francis Cheka kushiriki katika mchezo wa ngumi kwa kipindi cha miaka miwili na kulipa faini ya shilingi laki tano kwa kitendo cha kukacha pambano baina yake na…Read More
Upinzani na serikali wakutana DR Congo
Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na vyama vya upinzani vinakutana katika mkutano ambao umeelezewa kama utakaovunja au kulijenga taifa hilo, lililoko maeneo ya maziwa makuu.
Taifa hilo linakumbwa na mata…Read More
Watu wawili wafariki katika ajali Singida
Watu wawili wamefariki dunia na wengine 26 kujeruhiwa kwenye ajali iliyohusisha basi la kampuni ya National Express T.662 DEF, baada ya kuacha barabara na kupinduka zaidi ya mara tatu katika eneo la kijiji cha Tumuli, wil…Read More
Tandika jamvi lako na Meridianbet hapa
-
Je unajua kuwa unaweza kumaliza Wikendi yako kirahisi sana ukiwa na
Meridianbet kwani ODDS...
The post Tandika jamvi lako na Meridianbet hapa first app...
0 MAONI YAKO:
Post a Comment