August 15, 2016


Mtaalamu mahiri ambaye ametokea kukubalika sana na watanzania ikiwemo vyombo vya habari ametoa kali ya mwaka katika mada zake kupitia Clouds FM pale alipofichua kwamba ikiwa umeishi na mwanaume kwa muda mrefu sana na hujawahi kusikia akipumua (aghalabu kitarumbeta) basi ujue mwanaume huyu ana siri nyingi sana anakuficha na kutopumua (flatulence) ni ishara ya kwamba anazibana siri hizi kama anavyolibana tukio lenyewe

Huyu ni Dr Chriss Mauki

Wanasayansi wengine wamenukuliwa wakisema Holding it in may cause major health repercussions.

Related Posts:

  • Kiswahili kuwa Lugha rasmi ya Afrika Kiongozi wa chama cha watetezi wa Uhuru wa kiuchumi (EFF) cha Afrika Kusini, Julius Malema, ametoa wito wa kupitishwa kwa lugha moja itakayotumika barani Afrika, huku akipendekeza lugha ya Kiswahili kuwa lugha hiyo. Ma… Read More
  • Morogoro kukata utepe wa Fiesta 2018   TIGO NA CLOUDS TENA: NI VIBE KAMA LOTE. Taa ya kijani imewaka, honi zinasikika kushtua kila dereva aliyekuwa hajakaa mkao wa kusepa, nchi yote inaweka gia ya kusogea mbele, penye kiza nuru imewaka, penye upweke … Read More
  • Breaking News: Misanya Bingi afariki Dunia   Aliyewahi kuwa mtangazaji maarufu sana wa Radio nchini kupitia Radio One Stereo na ITV Dkt. Misanya Dismas Bingi maarufu Misanya Bingi amefariki Dunia. Taarifa za awali zinasema, misanya Bingi amefariki Dunia usiku … Read More
  • Luka Modric Anyakua Mchezaji Bora, Ronaldo Mshambuliaji Bora KIUNGO wa Klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Croatia, Luka Modric amefanikiwa kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa Ulaya akiwafunika Mo Salah wa Liverpool na Cristiano Ronaldo wa Juventus. DATA 17/18 … Read More
  • Gari la Mbunge wa CHADEMA lashambuliwa kwa risasi   Gari la Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Manyara, Mhe. Anna Gidarya limeshambuliwa kwa kupigwa risasi kwenye matairi ya mbele na nyuma ya ubavu mmoja muda mfupi uliopita akiwa katika kata ya Majengo, Monduli mkoa… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE