Zanzibar kwa wenye fedha zao huweza kugeuka kuwa paradise
iliyo chini ya jua. Kwa Diamond, Zanzibar imekuwa ni sehemu muhimu pindi
anapotaka kumpeleka mapumzikoni mchumba wake, Zari.
Kwa dhoruba kadhaa zilizojaribu kulipiga pendo lao miezi ya hivi
karibuni, mapumziko katika fukwe za visiwani humo zenye ukijani
unaovutia na upepo mwanana wa bahari ya Hindi, kilikuwa ni kitu
walichokihitaji zaidi.
Isitoshe, Zari amesherehekea siku yake ya kuzaliwa siku mbili hizi –
siku ambayo imemkuta akiwa amejaa, mimba nyingine, ya mtoto mwingine wa
kipenzi chake, Diamond. Ni zawadi gani nyingine alipaswa kupewa na
mpenzi wake zaidi ya kupelekwa kwenye kisiwa hicho cha karafuu?
Nguo nyeupe likawa chaguo lao na picha zao zilizopigwa nyumba ya
mazingira ya kuvutia ya Zanzibar, zimeng’aa haswaa. Chini ni baadhi ya
picha hizo.
BAB YAKE KANUMBA ANENA.
Kanumba
BARUA iliyotumwa na wawakilishi watatu wa baba wa marehemu Steven Kanumba, Chales Kanumba, imesomwa jana mbele ya vyombo vya habari nyumbani kwa marehemu. Katika barua hiyo baba huyo alieleza kuwa ameshindw…Read More
MASKINI LULU AFIKISHWA MAHAKAMANI.
Lulu mahakamani leo
Muigizaji wa Filamu nchini anaehusishwa na kifo cha Muigizaji Mwenzie,Marehemu Steven Kanumba,Bi Elizabeth Michael a.k.a Lulu amepandishwa kizimbani mapema leo asubuhi kwenye Mahakama ya Hakimu Mk…Read More
BERY BRACK ATAMBURISHA MPYA
Berry Black akipagawisha jukwaani
NYOTA wa muziki wa kizazi kipya Mbaraka Abdallah anatarajia kutambulisha wimbo wake mpya uitwao Nyumbani Sio Safi, Jumapili kwenye Ukumbi wa Club Billicanas.
Berry amesema k…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment