Zanzibar kwa wenye fedha zao huweza kugeuka kuwa paradise
iliyo chini ya jua. Kwa Diamond, Zanzibar imekuwa ni sehemu muhimu pindi
anapotaka kumpeleka mapumzikoni mchumba wake, Zari.
Kwa dhoruba kadhaa zilizojaribu kulipiga pendo lao miezi ya hivi
karibuni, mapumziko katika fukwe za visiwani humo zenye ukijani
unaovutia na upepo mwanana wa bahari ya Hindi, kilikuwa ni kitu
walichokihitaji zaidi.
Isitoshe, Zari amesherehekea siku yake ya kuzaliwa siku mbili hizi –
siku ambayo imemkuta akiwa amejaa, mimba nyingine, ya mtoto mwingine wa
kipenzi chake, Diamond. Ni zawadi gani nyingine alipaswa kupewa na
mpenzi wake zaidi ya kupelekwa kwenye kisiwa hicho cha karafuu?
Nguo nyeupe likawa chaguo lao na picha zao zilizopigwa nyumba ya
mazingira ya kuvutia ya Zanzibar, zimeng’aa haswaa. Chini ni baadhi ya
picha hizo.
ACT Wazalendo, wamvua uenyekiti mama Anna Mghirwa
Chama cha ACT Wazalenda, kimemvua rasmi Uenyekiti wa Chama hicho aliyekuwa mwenyekiti wake Mama Anna Elisha Mghirwa. Kamati ya Uongozi wa Chama Hicho imefikia maamuzi yake hayo mapema leo hii kufuatia Mama Anna kut…Read More
Mambo 6 yakufahamu kuhusu mwezi wa Ramadhani
Ramadhani ni mwezi mtukufu katika ulimwengu wa kiislamu ambao umeanza Jumamosi na utachukuwa muda wa siku 30 au 29.
1. Ramadhan ni mwezi wa 9 katika kalenda ya kiislamu.
Kalenda
ya kiislamu ni kalenda ambayo inahes…Read More
Korea Kaskazini yarusha kombora la kushambulia meli
Korea kaskazini imerusha makombora kadha ya kushambulia meli mashaiki mwa pwani yake, kwa mujibu wa Korea Kusini
Mamlaka zilisema kwa makombora hayo yaliyorushwa Alhamisi asubuhi karibu na mji wa Wonsan yalikuwa …Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment