Zanzibar kwa wenye fedha zao huweza kugeuka kuwa paradise
iliyo chini ya jua. Kwa Diamond, Zanzibar imekuwa ni sehemu muhimu pindi
anapotaka kumpeleka mapumzikoni mchumba wake, Zari.
Kwa dhoruba kadhaa zilizojaribu kulipiga pendo lao miezi ya hivi
karibuni, mapumziko katika fukwe za visiwani humo zenye ukijani
unaovutia na upepo mwanana wa bahari ya Hindi, kilikuwa ni kitu
walichokihitaji zaidi.
Isitoshe, Zari amesherehekea siku yake ya kuzaliwa siku mbili hizi –
siku ambayo imemkuta akiwa amejaa, mimba nyingine, ya mtoto mwingine wa
kipenzi chake, Diamond. Ni zawadi gani nyingine alipaswa kupewa na
mpenzi wake zaidi ya kupelekwa kwenye kisiwa hicho cha karafuu?
Nguo nyeupe likawa chaguo lao na picha zao zilizopigwa nyumba ya
mazingira ya kuvutia ya Zanzibar, zimeng’aa haswaa. Chini ni baadhi ya
picha hizo.
MADIWANI::TULIRUBUNIWA TUWAUE DR SLAA,MNYIKA
Madiwani walioasi Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)
wamerejea na kudai walirubuniwa na makada watano wa CCM kuhama kwenye
chama hicho ili wawatumie kuwaua, Dk. Willbrod Slaa na John Mnyika.
Madiwani hao n…Read More
SERENGETI FIESTA 2014 MWANZA, PICHA 7 ZA JUKWAA HIZI HAPA
Serengeti Fiesta pande za Mwanza Mwanza ndiyo kinahappen leo so kama
wewe ni mkazi wa Mwanza,mida mida tokea ndani ya uwanja wa Ccm
Kambarage,maandalizi ya uwanja yamekamilika na hali iko hivi kwa sa…Read More
Tandika jamvi lako na Meridianbet hapa
-
Je unajua kuwa unaweza kumaliza Wikendi yako kirahisi sana ukiwa na
Meridianbet kwani ODDS...
The post Tandika jamvi lako na Meridianbet hapa first app...
0 MAONI YAKO:
Post a Comment