September 24, 2016

 
Wakazi wa jiji la Tanga usiku wa jana kuamkia leo wameingia katika Historia ya Fiesta ya mwaka 2016 baada ya usiku wa Tarh: 23 kuamkia 24 September kukamilisha shangwe za Fiesta katika uwanja wa Mkwakwani


 
 MR.blue byser mzee wa mboga saba mi namwitaga Jini akiwa anakinukisha MkwakwaniStadium Usiku wa Jana kuamkia Leo
  
Ukisikia sauti yake unaweza kutamani asiache kuimba,
bellachristian1 akitimiza ahadi yake kwa mashabiki zak

  
Naweza sema ndiye mfalme wa R $ B kwa sasa, anaitwa Ben Pol akisema na mashabiki zake wa Tanga katika jukwaa la Fiesta 2016



  
 Mshindi wa SuperNyota mkoa wa Tanga ni CyrillIsidor

  
MamboYaTangaHayo raha ya mduara sharti utupie msuli 

 
 Rais wa Manzese aka Madee unajua ana asili ya Tanga


 
Shetta akiwa sambamba na wacheza show wake katika kuwapa ladha mashabiki wake waliofurika uwanja wa Mkwakwani

  
Unaweza lusema kwamba jiji zima la Tanga liamia Mkwakwani kwenye shangwe za Fiesta

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE