Hii ni tamasha ambalo huusisha
zaidi walaji mbalimbali wa nyama kukutana na kufurahia nyama mbalimbali
ambazo huandaliwa na mabanda mbalimbali ikiwemo Nyama ya kuku, Ng’ombe na Mbuzi.
September iji la Dar es Salaam limepata nafasi nyingine ya kukutana
pamoja na kula nyama za aina mbalimbali, Nyamachoma Festival Dar es
Salaam imefanyika kwenye viwanja vya Leaders Club.
Hizi ni baadhi ya picha kutoka kwenye tukio hilo

.

.

.

.

.

.Dj Maphorisa kutoka South Africa akitoa burudani ya nguvu

.

.

.

.Idris Sultan (Kulia) akiwa na mke wa Mwimbaji Jose Mara

.

.

.

.Kushoto: Kajala akiwa na rafiki yake

.

.

.

.

.

.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment