September 04, 2016

 
Hii ni tamasha ambalo huusisha zaidi  walaji mbalimbali wa nyama kukutana na kufurahia nyama mbalimbali ambazo huandaliwa na mabanda mbalimbali ikiwemo Nyama ya kuku, Ng’ombe na Mbuzi.
September iji la Dar es Salaam limepata nafasi nyingine ya kukutana pamoja na kula nyama za aina mbalimbali, Nyamachoma Festival Dar es Salaam imefanyika kwenye viwanja vya Leaders Club.
Hizi ni baadhi ya picha kutoka kwenye tukio hilo
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.Dj Maphorisa kutoka South Africa akitoa burudani ya nguvu

.
.
.
.
.
.
.
.Idris Sultan (Kulia) akiwa na mke wa Mwimbaji Jose Mara

.
.
.
.
.
.
.
.Kushoto: Kajala akiwa na rafiki yake

.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.

Related Posts:

  • Official Audio: Enock Bella _ Kurumbembe Mzee wa mbesi Enock Bella wa Yamoto Band, sasa kazi tu. Ameachia Rasmi wimbo wake wa Kurumbembe. Katika wimbo huu Enock anaonekana kufanya vizuri zaidi kutokana na mziki alioufanya utamfya kubadilisha style ya muziki wa … Read More
  • Umoja wa Ulaya wataka serikali ya Tanzania iwajibike   Umoja wa Ulaya (EU) umelaani kuongezeka kwa vitendo vya uvunjifu wa amani ukiwalenga wanasiasa na vitisho nchini Tanzania, na kutaka hatua kuchukuliwa mara moja kukomesha hali hiyo. Tamko lililotolewa Ijumaa… Read More
  • Brand New Audio: Alay - Nibebe  Mwanamuziki anayetamba kwa kuachia hit nyingi sana kwa sasa nchini tanzania Aslay, ametuletea wimbo wake mpya kabisa unaitwa Nibebe … Read More
  • Official new Video: Salesale - Dayna Nyange      Audio ya wimbo huu wa Dayna Nyange, ilishatambulishwa tayari siku ya Alhamisi. Leo hii ametuletea Video ya wimbo wa Salesale. Video ipo katika ubora wa hali ya juu kabisa na inawezekana ikawa ni miungo… Read More
  • Zitto Kabwe akamatwa Morogoro, awekwa ndani   Kiongozi na mbunge wa Kigoma Mjini kupitia chama cha ACT Wazalendo Ndugu zitto Kabwe, anashuikiliwa na jeshi la Polisi Mkoani Humo. Kwa mujibu wa taarifa za kichama kupitia ukurasa wa Twitte, Ndugu zitto amepelekwa … Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE