Mmiliki wa bendi ya Yamoto Band Mkubwa Fella, ameonesha mahali walipofikia Band ya Yamoto kwa mafanikio ambapo ameamua kuonesha nyumba alizowajengea vijana wake hao.
Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumanne
Habari mpenzi msomaji wa Ubalozini.blogspot.com. Karibu katika kurasa za Magazeti ya Tanzania leo hii Jumanne ya 10 Mei. Kurasa zote na habari kubwa zipo hapa
&nbs…Read More
Ray: "Mimi ndiye msanii bora wa Filamu"
Msanii
wa filamu nchini Vicent Kigosi amefunguka na kusema kuwa yeye ni msanii
pekee kutoka Tanzania ambaye amechaguliwa kushiriki katika filamu
inayounganisha nchi mbili ya Rwanda na Tanzania.
Ray
Kigosi…Read More
Studio ya Barnaba ‘High Table Sound’ yafungwa
Msanii wa muziki, mwandishi na mtayarishaji wa muziki,
Barnaba Classic ameifunga studio yake ya ‘High Table Sound’ kwa ajili ya
matengenezo.
Akizungumza na Bongo5, Barnaba amesema aliamua kuifunga studio hiyo …Read More
Katumbi ahojiwa na waendesha mashtaka DRC
Mwanasiasa wa upinzani aliyetangaza
atawania urais nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Moise Katumbi
amehojiwa na maafisa wa mashtaka mjini Lubumbashi.Hii ni baada ya serikali kumtuhumu kwa kuwaajiri maml…Read More
Madee afunguka kuhusu Kajala na Majani
Msanii
Madee amefunguka undani wa wimbo wa 'Haya Yote Maisha' wa Producer P
Funk Majani ambao ameimba yeye, wimbo ambao ulishika chati na kugusa
hisia za watu wengi.
Akiongea
kwenye Planet Bongo ya East Africa R…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment