November 06, 2016

 
Ule msimu rasmi wa burudani ncini Tanzania Fiesta, umefikia kilele usiku wa jana kuamkia leo katika Viwanja vya Leaders jijini Dar Es Salaam huku ukihudhuliwa na mashabiki lukuki na kushuhidia bonge la Burudani kutoka katika list ya wasanii kibao. Ikumbukwe pia kilele hicho pia Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alitoa baraka zake kwa kutambua tukio hilo 

 
 Ivrah amekuwa wa kwanza kufungua jukwaa la FiestaDar Leaders Imooooo!

  

 Ibrahnation ameamini ameacha historia Leaders

  
mauasama amepiga bonge moja la shoo

Barnaba Boy naye aliangusha bonge la shoo
 

 

 
Ikiwa  ni mara yake ya kwanza kupanda katika jukwaa la Fiesta la Dar anaitwa Ray Van toka W C B

 
Chid Benzi naye ndani

  

Umati mkubwa watu ulishuhudia Kilele cha Fiesta Dar

 
Chege anasema Waache waoane 

  
Tekno #Imoooo

 
Sholo mwamba amepanda saa kumi na mbili asubuhi

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE