
Ule msimu rasmi wa burudani ncini Tanzania Fiesta, umefikia kilele usiku wa jana kuamkia leo katika Viwanja vya Leaders jijini Dar Es Salaam huku ukihudhuliwa na mashabiki lukuki na kushuhidia bonge la Burudani kutoka katika list ya wasanii kibao. Ikumbukwe pia kilele hicho pia Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alitoa baraka zake kwa kutambua tukio hilo

Ivrah amekuwa wa kwanza kufungua jukwaa la FiestaDar Leaders Imooooo!

Ibrahnation ameamini ameacha historia Leaders

mauasama amepiga bonge moja la shoo

Barnaba Boy naye aliangusha bonge la shoo



Ikiwa ni mara yake ya kwanza kupanda katika jukwaa la Fiesta la Dar anaitwa Ray Van toka W C B

Chid Benzi naye ndani

Umati mkubwa watu ulishuhudia Kilele cha Fiesta Dar

Chege anasema Waache waoane

Tekno #Imoooo

Sholo mwamba amepanda saa kumi na mbili asubuhi
0 MAONI YAKO:
Post a Comment