Uyu jamaa alikuwa akiigiza wimbo wa mkiwa jukwaani
Usiku wa November 13 ya mwaka 2016, kile kiota cha burudani mkoani Morogoro cha Samaki Spot kilikuwa kinaazimisha mika 3 tangu kuanzishwa kwake. Lilifanyika bonge la Party lililokonga mamia ya mashabiki waliofika katika viwanja hivyo. Burudani kutoka kwa Warugulu Band wakiongozwa na Killer Boy waliuwasha moto vilivyo . Lakini kubwa zaidi ni yule mkali wa Singeli nchini Tanzania Mani Fongo alivyokinukisha barabara hulu mashabiki wakisuzika. Lakini baada ya Mani Fongo ikafwata zamu ya wakubwa mwendo wa bandika bandua mpaka kweupe . Mzigoni alisimama DJ JD John Dilinga akiwa sambanmba na Dj Jimmy Lover.
Mashabiki wakiifwatilia show ya Mani Fongo
Wacheza show wa mani Fongo balaa
Mani Fongo akisema hainaga ushemeji
Kwa upande wa Ulinzi kila upande ulikuwa imara
Kweli hainaga Ushemeji
Mani Fongo sambamba na wacheza show wake
Mkurugenzi wa Samako Spot bi Farida akiwa na Warugulu Origina
Kulia ni John Dilinga na kushoto ni DJ Jimmy Lover
JD akisugua mashine huku Jimmy Lover akimfwatilia
DJ Imma naye alikuwepo
0 MAONI YAKO:
Post a Comment