January 17, 2017

Image may contain: 1 person, standing, sunglasses and beard 

Mgombea udiwani kata ya kiwanja cha Ndege Morogoro kwa tiketi ya chama cha Wananchi CUF Ndugu Abeid Haroub Mlapakolo, amewaomba wakazi wa kata hiyo kumuunga mkono katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika 22 January 2017. Akizunumza na wananchi katika mkutano wa Hadhara wa kampeni AMlapakolo amesema endapo watamchagua, atahakikisha anashirikiana na wanchi hao katika kuleta mabadiliko na maendeleo katika kata hiyo kongwe.

Msikilize Mlapakolo hapa

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE