Mawakili wawili maarufu nchini Peter Kibatala na Faraji Mangula, wamesema watahakikisha msanii Nay wamitego anapata dhamana ama anafikishwa Mahakamani. Katika ukurasa wake wa instagram Wakili Peter Kibatala ameandika na kuthibitisha kwamba wakili Faraji Mangula alifika Central na kuhakikisha Nay amefika tayari
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment