Mwana Dada Agatha Mbale kutoka mkoani Morogoro, kwa mara ya kwanza kabisa anatupa karata yake ya muziki kwa upande wa hip Hop. Anakuwa miungoni mwa wasanii wachache sana wa kike kutoka Morogoro. Hapa anatukutanisha na wimbo wake mpya na ni wa kwanza kabisa unaitwa Shujaa. Wimbo umefanywa na Producer Material katika studio sa Star Records
Balozi Nchimbi aonya maofisa utumishi kuacha uonevu
-
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi
amewataka watumishi wanaosimamia utawala na rasilimali watu sehemu za kazi
kuwatendea...
37 minutes ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment