April 09, 2017

 

Mbunge wa Arusha mjini kwa tiketi ya CHADEMA Mh. Godbless Lema ameongea na waandishi wa habari na amesisitizia swala la kupotea kwa Ben Saanane, katika mazungumzo yake Lema amesema amejitolea maisha yake akiwa sambamba na Zitto Kabwe na Tundu Lissu kujua hatma ya kijana Ben saanane aliyepotea takriban mwezi wa nne zaidi mpaka sasa na hajulikani alipo.

Mtazame Lema hapa
                   

Related Posts:

  • Polisi jela kwa kumuua mwanaharakati    Polisi wawili nchini Rwanda, wamefungwa miaka 20 jela kwa kumuua mwanaharakati wa kupinga ufisadi, aliyekuwa anachunguza kashfa ya ulanguzi wa madini mpakani. Gustave Makonene, aliyekuwa anafanya kazi na sh… Read More
  • Wafugaji wafunga minada ya mifugo Morogoro    Wafugaji jamii ya wamasai na wabarabaigi mkoani Morogoro wamefunga minada yote ya kuuza mifugo mkoani Morogoro kwa muda usiojulikana wakilalamikia serikali kushindwa kukomesha vitendo vya uon… Read More
  • UKAWA yatangaza kususia Kura ya Maoni   Vyama vya Siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi nchini Tanzania (UKAWA) leo vimetangaza rasmi kuwa vitasusia kushiriki kura ya maoni, kwa ajili ya kupitisha Katiba mpya April 30, 2015 Vyama vya Sias… Read More
  • New Audio- Mperampera - Mash J ft Stamina Baada ya kufanya poa sana na wimbo wake wa Rimex ya John iliyoimbwa na yemmy Alade wa Nigeria na yeye kuipa jina la Penny, mwanamuziki toka mkoani Morogoro Mash J, safari hii imekuja tena na wimbo wake mpera mpera alio… Read More
  • UN: Ugaidi hauna mfungamano na dini maalumu    Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameeleza kuwa, ugaidi haufungamani na dini au madhehebu fulani na kusisitiza kwamba viongozi wote wa dini ulimwenguni wanalaani na wanapinga kwa nguvu zao zote vit… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE