Leo Bungeni mjini Dodoma ziliibuka shangwe za aina yake baada ya wabunge wa bunge hilo kumpigia shangwe za nguvu Rais mstaafu Jakaya Kikwete pale alipotambulishwa na spika kama ni nmgeni aliyehudhulia bungeni hapo keo. Tazama Video hapa chini
MASKINI LULU AFIKISHWA MAHAKAMANI.
Lulu mahakamani leo
Muigizaji wa Filamu nchini anaehusishwa na kifo cha Muigizaji Mwenzie,Marehemu Steven Kanumba,Bi Elizabeth Michael a.k.a Lulu amepandishwa kizimbani mapema leo asubuhi kwenye Mahakama ya Hakimu Mk…Read More
BERY BRACK ATAMBURISHA MPYA
Berry Black akipagawisha jukwaani
NYOTA wa muziki wa kizazi kipya Mbaraka Abdallah anatarajia kutambulisha wimbo wake mpya uitwao Nyumbani Sio Safi, Jumapili kwenye Ukumbi wa Club Billicanas.
Berry amesema k…Read More
BAB YAKE KANUMBA ANENA.
Kanumba
BARUA iliyotumwa na wawakilishi watatu wa baba wa marehemu Steven Kanumba, Chales Kanumba, imesomwa jana mbele ya vyombo vya habari nyumbani kwa marehemu. Katika barua hiyo baba huyo alieleza kuwa ameshindw…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment