Leo Bungeni mjini Dodoma ziliibuka shangwe za aina yake baada ya wabunge wa bunge hilo kumpigia shangwe za nguvu Rais mstaafu Jakaya Kikwete pale alipotambulishwa na spika kama ni nmgeni aliyehudhulia bungeni hapo keo. Tazama Video hapa chini
KIJANA MIAKA 32 ANASWA NA KIBIBI CHA MIAKA 80
Stori Kutoka Global Publishers
KUNA
mengi ya kushangaza duniani lakini hili la kijana Hamad Issa (32)
kunaswa faragha na bibi kizee Adela Mkalau (80) linaongeza rekodi ya
mambo yanayoshangaza, Risasi Mchanganyik…Read More
RAIS KIKWETE AIPONGEZA CLOUDS MEDIA KWA KUTOA FURSA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt .Jakaya Mrisho Kikwete
Novemba 26 alikuwa ni mgeni rasmi kwenye semina ya kamata fursa twenzetu
iliyofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.
…Read More
ADAM JUMA AJIBU DONGO LA NISHER JUU YAKE.
Muongozaji mkongwe wa video, Adam Juma ameamua kujibu
ujumbe wa kejeli alioandikiwa na muongozaji wa video aliyekuja juu
nchini, Nisher.
Nisher alipost picha yenye maneno yanayoonekana ku…Read More
Tandika jamvi lako na Meridianbet hapa
-
Je unajua kuwa unaweza kumaliza Wikendi yako kirahisi sana ukiwa na
Meridianbet kwani ODDS...
The post Tandika jamvi lako na Meridianbet hapa first app...
0 MAONI YAKO:
Post a Comment