Leo Bungeni mjini Dodoma ziliibuka shangwe za aina yake baada ya wabunge wa bunge hilo kumpigia shangwe za nguvu Rais mstaafu Jakaya Kikwete pale alipotambulishwa na spika kama ni nmgeni aliyehudhulia bungeni hapo keo. Tazama Video hapa chini
Matokeo kidato cha nne yatangazwa. Ingi hapa
Wizara inayoshughulika na masuala ya elimu nchini imetoa ramsi matokeo
ya wanafunzi waliofanya mitihani ya QT na Kidato cha Nee mwaka jana
2014. Fuata link hizi hapa chini kwa matokeo yenyewe.
KIDATO CHA NNE BOFYA HA…Read More
Alichoandika January Makamba kuhusu Vifurushi vya simu
Nimeongea Mkurugenzi Mkuu wa TCRA, Prof. John Nkoma, kumuagiza azungumze
na makampuni ya simu juu ya mabadiliko ya bei za bundles: ukubwa,
ughafla na upamoja (mitandao yote). Nimewaagiza pia watoe majibu kwa
umma haraka…Read More
Papa awapopoa wana ndoa wasiotaka kuzaa
Kiongozi wa kanisa katoliki duniani papa Francis amesema kuwa wanandoa wasio na watoto ni chanzo cha kizazi cha ulafi.
Akizungumza
mbele ya umati mkubwa katika bustani ya St. Peters,papa Francis
aliendelea kusema …Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment