Idadi ya wasanii waliotangaza kugombea Ubunge 2015 hii hapa
Muigizaji Wema Sepetu ametangaza kuwania Ubunge wa viti maalum Singida
Wasanii wa filamu na muziki wameamua kujitokeza kuwania nafasi za
ubunge katika maeneo mbalimbali nchini katika uchaguzi wa 2015. Mpaka
sasa…Read More
Neymar apewa kadi nyekundu baada ya mechi
Nyota wa timu ya Brazil Neymar
alionyeshwa kadi nyekundu baada ya kipenga cha mwisho cha mechi ya
kinyang'anyiro cha Copa America baada ya timu yake kufungwa na Colombia
kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1991.
Msh…Read More
Muuaji wa watu tisa kanisani akamatwa
Muuaji
Mshukiwa wa mauaji ya watu tisa katika kanisa moja la kihistoria mjini Carolina Kusini amekamatwa.Kulingana
na mwanasheria mkuu Lorr…Read More
Nuh Mziwanda atimua kwa Shilole
Mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani umemfanya msanii wa Bongo
Fleva,Nuh Mziwanda kuondoka nyumbani kwa mpenzi ambaye ni msanii,Shilole
ili kumpisha mpenzi wake afunge kwani hawajafunga ndoa.
Shilole ameyazungumza hay…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment