May 01, 2017

 

Leo ni siku ya wafanya kazi Duniani. Sherehe hizi kitaifa zinafanyika mkoani Kilimanjaro huku mgeni rasmi ktika sherehe hizo akiwa ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli

 

 
Maandamano ya wafanyakazi Kilimanjaro katika maadhimisho ya siku ya wafanyakazi Duniani

Tazama hapa kinachoendelea pale Moshi Kilimanjaro
      

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE